KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, March 30, 2012

HOSPITALI YA MKOA WA RUVUMA WAPATA MSAADA WA VIFAA TIBA

Kaimu katibu tawala mkoa wa ruvuma Weston Nganiwa akitoa tarifa ya wagonjwa wa macho mkoa wa Ruvuma kabla ya kukabidhiwa vifaa vya macho na Kaimu Meneja wa huduma za macho kutoka Dar -es - salaam

Kaimu Katibu tawala Mkoa wa Ruvuma akieleza hali halisi ya utendaji kikazi katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma

Mtalamu wa upimaji wa vifaa vya Macho akimwelekeza Kaimu katibu tawala Weston Nganiwa jinsi vifaa hivyo vinavyo weza kufanya kazi kiurahisi kumpima mgonjwa

Dkt Idda Ngoi akiwa karibisha wageni kutoka Uganda ambao walikuja kukabidhi vifaa vya tiba ya Macho vyenye samani ya shilingi milioni 35


Dr Chanangula akiwasilia na watalamu wenzake katika kufanikisha ufunguaji wa kituo cha tiba ya macho Ruvuma

No comments:

Post a Comment