KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, March 27, 2012

THE FOUNDATION NA AZAKI KATIKA MAENDELEO

Mkatibu wa Asasi ya SONNGO kutoka mkoani Ruvuma akisikiliza kwa makini namuna ya kumutoa Mwananchi katika umasikini kwa kutumia Rasilimali tulizo nazo

Jamii ya wafugaji wakiwa katika eneo la Ruaha mkoani Iringa wakiangalia shamba la mabondeni ili kuweza kulima mahindi,Mpunga, na Mbogamboga

Mkoa wa Iringa una utaratibu wa kuhifadhi maeneo yaliyo mabondeni kwa kutoa elimu ili wananchi wasilime ovyo ili kulinda vyanzo vya majiWatoto wadogo huwa watafiti kwa mambo mengi wakiangalia kitu mara moja huweza kutengeneza kitu kinacho lingana na kitu walicho kiona, Hapo wapo Darasani lakini mara baada ya kufika wandishi wa Habari hawakuweza kuvumilia ,waliuliza maswali jinsi Kamera zinavyo chukua Picha ,wanafunzi hao ni kutoka shule ya Mtunduwalo kwenye Machimbo ya Makaa ya Mawe Wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma

Uwapo jijini Dodoma kwa vifaa mbalimbali vya umeme fika katika duka la Kazi Moto liko nyuma ya Jengo la au numa ya jengo la CCM Makao makuu Dodoma hapo ni viongozi kutoka mkoa wa Ruvuma walio Tembelea Duka la Kazimoto

No comments:

Post a Comment