KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, March 15, 2012

MAJINA MATATU YA PELEKWA KWA RAIS DR JAKAYA MRISHO KIKWETE

Mjumbe kutoka Tamwa Flola Nzema akitoa maelezo kwa mjumbe wa bodi ya UTPC Juma nyumayo pia akibalilishana mawazo kujadili mada itakayo wakilishwa katika kongamano la Azaki za Tanzania Bara kuhusu swala la Habari

Mjumbe kutoka TAMWA Flola akiwakilisha mada katika kongamano kubwa lililo huska wajumbe 223 kutoka Tanzania kongamano lililo fanyika jijini Dodoma kuhusu ushirikiano wa vyombo vya habari na Azaki zilizopo katika Tanzania , kushirikiana na vyombo vya habari ni moja ya nija mnzuri ya kufikisha mawasiliano kwa wananchi.


Mwenyekiti kamati ya kuhesabu kura za majina ambayo yata pelekwa kwa mheshimiwa Rais Dr Jakaya Mrisho Kikwete ili aya teue kujiunga na kamati ya kuratibu maoni ili kupata katiba mpya hapo Keny Ngomuo ana onekana akitoa majina yaliyo chaguliwa na wajumbe Dodoma

Wajumbe mbali mbali wakipiga kura ili kuchagua majina matatu ta takayo pelekwa kwa Mheshimiwa Rais majina yaliyo teuliwa ni kama yanavyo onekana hapo chimni

Majina yaliyo teuliwa kupelekwa kwa Rais yalikuwa matatu yaliyo pata kura za juu nayo nihayo yafuatayo 1.John Ulanga aliye pata kura 114, Pr Ruth Mena aliye pata kura 97 na Humprey Polepole aliye pata kura 90

Wajumbe wakiwa makini katika upigaji wa kura kuteua majina matau yatakayo pelekwa ikulu kwa Rais mjumbe wa kamati Tabia Kobe akikusanya kura baada ya wajumbe kupiga






wajumbe wakiwa Dodoma wakihudhuria kongamano la Azaki kutoka Tanzania Kisiwani na Tanzania bara

kwenye mkusanyiko hakukosekani watu wengine kutafakari kwa kina hapo mjumbe akitafakari kwa makini kuhusu kongamano la Dodoma la kuchagua wajumbe 3 wa mchakato wa katiba

No comments:

Post a Comment