KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, March 30, 2012

INTERNATIONAL CENTER FOR EYE CARE EDUCATION EAST AFRICA WATOA VIFAA VYA TIBA YA MACHO

Mwakilishi kutoka ICEE Uganda Dr Naomi Nsubuga akitoa tarifa jinsi shirika la ICEE Internatinal Center for Eye Care Education East Africa ili navyo pambana na kutokomeza magonjwa yanayo husu Macho akiwa Mkoani Ruvuma,


Mguzi mkongwe katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma bwana Ndunguru akiwa katika ufunguzi wa kituo cha Macho Mkoani Ruvuma

Kaimu meneja wa mipango ya Taifa wa Huduma za Macho Dkt Bernadetha Shiro akieleza nia ya serekari katika mikakati ya mkukuta katika kupambana na maradhi ikiwemo maradhi ya macho ifikapo mwaka 2016 kutokomeza magonjwa ya Macho

1 comment:

  1. So it is interesting and very good written and see what they think about other people. glaucoma

    ReplyDelete