KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, March 20, 2012

THE FOUNDATION CIVIL WANATARAJIA KUTUMIA BILIONI 4 KUTOA UELEWA KWA WANANCHI ILI KUPATA MAENDELEO PALE WALIPO

Omary Jecha kutoka The Foundation akitoa elimu ya uandishi wa Tarifa kwa Azaki kutoka Tanzania bara na Tanzania Kisiwani walio shiriki kataka ukumbi wa Dodoma Hotel.Aidha The Foundation Civil wanategemea kutumia shilingi bilioni 4 ili kutowa uelewa kwa wananchi kupitia Azaki zilizopo ili kuwaondoa katika umasikini na kuweza kujua haki zao kwa upande wa Serekar

Mwandishi wa kimataifa wa ndani na inje katika kuendesha midahalo kupitia televisheni ya Star Tv ambayo hupasua mawimbi kwa kusikika inje ya mipaka ya tanzania . Hapo Mwandishi huyo Rosemary Mwakitwange akiratibu maswala mbalimbali.


Mwana harakati kutoka Zanzibar akichangia hoja kuhusu ushiriki wa wabunge Tanzania Hapo anatoa uzoefu kuhusu ushiriki wa wabunge katika midahalo imebainika kuwa ushiriki wawa bunge ni chini ya asilimia 35% Tanzania Mzima


Washiriki kutoka Tanzania bara na Kisiwani wakishiriki mafunzo kuhusu uandishi wa kuandika tarifa wakiwa ukumbi wa Dodoma Hoteli

No comments:

Post a Comment