KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, March 21, 2012

RAIS DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE AWAAPISHA WA KUU WA MIKOA YA NJOMBE,GEITA,KATAVI NA SIMIYU

mkuu wa mkoa wa Simiy kapt Paschal Kulwa Mabiti akiapishwa jijini Dar -es -Salaam na Rais Dr Jakaya Mrisho Kikwete

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dr Rajabu Mtumwa Rutengwe akiapa mbele ya Rais Dr Jakaya Mrisho Kikwete jijini Dar -es - salaam


Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Geita Mh Magalula Said Magalula akiapa mbele ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete

Mkuu wa Mkoa wa njombe kapt Asery Msangi akiapa mbele ya Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Mh. Dr Jakaya Mrisho Kikwete

No comments:

Post a Comment