KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, May 20, 2012

MDAHALO KATIKA ZIWA NYASA WA FANA

Ndugu msomaji wa mtandao huu umesikia kuwa hivi sasa Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kaanzisha wilaya mpya ya Nyasa sasa ufikapo wilaya hiyo chakula kikuu ni ugali wa Mhogo na Samaki kama unavyo ona hapo juu samaki alioko juu ya ugali anaitwa Mbufu
Nijambo la kihisitoria kuanzishwa kwa ziwa nyasa shirika lisilo kuwa la kiserekari la RUNECISO limekuwa la kwanza kuendesha mdahalo wa uwajibikaji wa viongozi kwa wananchi pamoja na wananchi ushiriki wao katika kazi za maendeo
Nakukumbusha tu huo niugali wa Mhogo hebu angalia jinsi ulivyo songwa kiufundi ukiwa kwenye sahani niyo njia moja wapo ya kufanya safari na kuja kuona ugali wa mhogo unavyo songwa
Mwandishi Mwandamizi wa Habari Juma Nyumayo akiwa tayari kuonja ugali wa Mhogo akiwa Mbambabay mwambao wa ziwa nyasa
Makamu Mwenyekiti wa wilaya ya Mbinga Prisca Haule akitoa mada kuhusu kuinua uchumi wa wilaya mpya ya nyasa kwani wilaya hiyo katika mapato ya Halimashauri huchangia asilimia 10%
Afisa Mtendaji wa kata ya Matalawe wilayani mbinga akiwa safarini kuhimiza wananchi wa kata hiyo katika kuzingatia kanuni za afya baada ya ugawaji mablanketi yaliyo tolewa na Idarara ya maji katika kuwa kumbuka watu walio asilika na UKIMWI
washiri 250 walio shiriki mdahalo wawazi kuhusu uajibikaji wa viongozi wa Serekari kwa wananchi ulio fanyika katika wilaya mpya ya nyasa
Afisa kutoka Maendeleo ya Jamii wilaya mpya ya Nyasa Ndugu Njau akitoa mada kuhusu maendeleo yanavyo takiwa kuletwa katika wilaya mpya ya Nyasa na kuwa taka wananchi wawilaya hiyo kuachana na uvivu
Washiki waliohudhulia katika mdahalo wawazi katika wilaya mpya ya Nyasa wapatao 250 wakisikiliza kwa makini mada zilizo kuwa zikitolewa
Picha ya pamoja iliyo pigwa kandokando mwa ziwa nyasa kwa washiriki wa mdaho wawazi wa uajibikaji ulio fanya wilaya mpya ya nyasa ulio shilikisha vikundi vyote walemavu,masirika ya dini, na asasi zilizopo wilaya ya Nyasa
Washiriki wa Mdahalo walio hudhuria wilayani Nyasa ulio fadhiliwa na The Foundation Civil Socity
Moja ya washiriki wakiwa wamepiga picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa mdahalo wilayani nyasa
moja ya washiriki katika mdahalo ulio endeshwa na RUNECISO Wilaya Nyasa wakiwa wana punga upepo mororo wa ziwa nyasa
mwandishi mwandamizi Juma Nyumayo akiwa katika ziwa nyasa akiroposha samaki tayari kwa kitoweo
Mwandishi mkongwe Adamu Nindi akiwa katika kutafuta kitoweo cha samaki katika ziwa nyasa hiyo ikiwa moja ya utalii katika ziwa nyasa
Mratibu wa SONNGO Mathew Ngalimanayo akiwa katika bandari ya mbambabay ikiwa ni moja ya njia ya kutalii katika bandari ya mbambabay
Juma Nyumayo na mbembe za kutalii katika Ziwa Nyasa hapo yupo Bandarini Mbambabay
Katibu hutasi wa Ruvuma Press Club Judith Lugoye akiwa katika utalii katika bandari ya mbambabay
Kikao cha maandalizi cha kuanda mdahalo wawazi katika wilaya mpya ya Nyasa hao mbele yako niviongozi wa RUNECISO Wakwanza ni Makamu Mwenyekiti Adam Nindi wapili ni Mwenyekiti Michael Mahecha

1 comment:

  1. yam yam hiyo picha ya ugali wa muhogo na mbufu ww acha tu...nami naichukua na kuiweka kibarazani kwangu. Ahsante sana.

    ReplyDelete