KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, October 25, 2011

BIMA ZILIZO IVA ZA LIPWA BILA MATATIZO MKOA WA RUVUMA

Mkoa wa Ruvuma katika kusherekea miaka 50 ya Uhuru imejidhatiti kuhakikisha ina ilipa Bima zote zilizo iva kwa wateja wake ikiwa na pamoja na kutoa elimu ya jinsi ya kupata huduma kamili kutoka kwa NATIONAL INSURANCE CORPORATION OF TANZANIA. Meneja wa Tawi la Songea Moses E.Senje ameya sema hayo alipo kuwa akionge na songeahabari.blogspot.com


Meneja wa Bima Tawi la Songea Moses E.Senje akiwa ofisini a kiendelea kuidhinisha cheki kwa Bima zilizo iva , karibu Robo tatu ya Mkoa wa Ruvuma amesha ifikia wale wote wenye Tatizo wana weza kumwona wakati wowote .

No comments:

Post a Comment