KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, October 12, 2011

JEE STENDI KUU YA MJINI SONGEA ITATENGAMAA LINI?

Manispaa ya Songea hivi sasa imeanza kutoa mtazamo mzuri wa Manispaa baada ya juhudi zinazofanywa na Mbunge wa Jimbo la Songea kwa kuboresha barabara za lami eneo kubwa la mjini Songea. Hivi sasa jicho la Wananchi linaitazama Stendi kuu ya Mabasi yaendayo nje ya Mkoa, Swali ni kuwa usipoosha uso hata kama umeoga watu watasema huyu mtu ni mchafu hivyohivyo kukamilika kwa Stendi ni dalili ya Usafi wa Uso, juhudi gani zifanyike kumuunga mkono Mbunge wa Jimbo la Songea Dr. Emmanuel John Nchimbi?

kipindi cha Masika kipo karibu stendi kuu ni kama inavyoonekana hapo juu juhudi zinahitajika za kuweka lami katika stendi kuu ya mabasi kazi hii itafanikiwa kwa ushirikiano kati ya wananchi, Madiwani na Mbunge wao

No comments:

Post a Comment