KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, October 18, 2011

MWANDISHI MWANDAMIZI ASHANGWA ZA NA VIVUTIO VYA RUVUMA

Bwana Beda Msimbe, Mwandishi wa Habari mwandamizi toka Dar akiwa tayari ameshiba maelezo ya kutembelea Makumbusho ya Taifa ya Majimaji Manispaa ya Songea mahala ambapo hakutarajia kuona matambiko yakiendelea katika kaburi la pamoja la watu 66 na lile la Nduna Songea Mbano Luwafu ambao walinyongwa na Wajerumani Tarehe 27/2/1906 na siku tatu baadaye Nduna Songea aliuawa na Kichwa chake kukatwa na kupelekwa Ujerumani. Mahali hapo alishuhudia pia pesa kibao za sadaka zilizowekwa na wafuasi wa mila za Kingoni. Hapa akitokea kwenye makaburi hayo na sasa anaelekea kwenye sanamu ya Askari wa JWTZ na zile 12 za Manduna wa Kingoni. [Picha na Juma Nyumayo]

Kaimu mkurugenzi wa H/wilaya ya Songea akiwa na wandishi wa Habari akitoa hali halisi ya Bima ya Afya katika H/ya Wilaya Songea

Makamu Mwenyekiti H/ya Wilaya ya Mbinga Prisca akieleza Bima ya Afya inavyo katisha tamaa wilaya ya mbinga. uhamasishaji umekuwa mdogo

No comments:

Post a Comment