KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, October 12, 2011

SAKATA LA UMEYA LAHITAJI BUSARA ZA MKUU WA MKOA WA RUVUMA

Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma imekuwa na Mafanikio baada ya kukagua ghala la hifadhi ya chakula mkoani hapa na kutembelea miradi mbalimbali na kujionea ufanisi uliopo ni jambo la kupongeza. La ajabu katika Ziara hiyo wakati wa hitimisho ilitokea suala ambalo linaashiria kuzorotesha Maendeleo ya Manispaa. Kwa nini CCM isichukue hatua ya kutatua mgogoro uliopo wa umeya, madiwani wa CCM wapo 21, Madiwani wa CHADEMA wako 7 wanapatata wapi nguvu ya kuitikisa Manispaa ya Songea? ni swali wanalojiuliza Wananchi wa Manispaa ya Songea hivi sasa wanangoja busara za Mkuu wa Mkoa mpya Mh. Said Thabit Mwambungu


Madiwani wa Manispaa ya Songea pamoja na Wafanya kazi wa Serikali wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa Mh. Said Thabit Mwambungu alipofanya Ziara katika Manispaa ya Songea

No comments:

Post a Comment