KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, October 31, 2011

MAENDELEO YA MJI WA LINDI

Mama mjasilia mali Hawa Selemani aishie katika manispaa ya Lindi akiwa katika jitihada za kugonga kokoto kwa ajili kuhudumia familia. Mama Hawa Selemani ana watoto 5 ambao wana tegemea shughuli hiyo ya ugongaji kokoto, amesema amefanya kila linalo wezekana kutaka kupata mkopo lakini shughuli yao mbele ya serekali haionekani kama kuna kitu.

Tukiwa tuna sherekea miaka 50 ya uhuru, wenzetu Tanzania bado wapo watu ambao wanatumia mtindo wa kizamani wa kusaga unga kwa kutumia mawe. Mama unae mwona hapo juu ni mama Lipu akisaga unga wa mtama kwa njia ya jadi kwa kutumia mawe mawili makubwa yakitumika kama mashine.

Tanzania inasherekea Miaka 50 ya uhuru lakini wananchi bado halizao ziko katika hali tete wana lala katika nyumba za tembe kama unavyo iona nyumba hiyo hapo juu hizo ndizo nyumba za watu wa lindi .Hiyo nyumba ipo katikati ya Manispaa ya Lindi eneo la Mtanda

No comments:

Post a Comment