KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, October 27, 2011

MAENDELEO YA MJI WA SONGEA YANA TOKANA NANINI ?

kama nilivyo uliza maendeleo ya Songea yametokana na nini ,jibu niwanaruvuma wenyewe wamepitia kwenye michakato mbalimbali hebu angalia picha ya hapo juu huyo unaye mwona ni mtoto wa mzee Litunu ni mzee wa kwanza kuweza kununua basi sipidi ya basi lake ilikuwa haivuki 10,asiye taka aliambiwa teremuka.mtoto huyo hapo juu amefuata nyayo za baba yake lakini kinyume yeye ni Diwani wa Kata ya Majimaji Tunduru Mh Halifani Litunu

Bado nakuletea maendeleo ya manspaa ya Songea hivi sasa barabara nyingi zina lami ,hiyo nibarabara ya kati nyuma ya misheni yaRomani Cathoric wakati mwenyekiti wa chama cha wandishi wa habari C,Nyoni akifaidi maendeleo ya JK

Songea ya zamani siyo ya sasa hebu angalia Majengo yanavyo pendeza nini kinawafanya wanaruvuma kushindwa kuja kuwekeza nyumbani kwenu hiyo ni changa moto inayo tukabili sisi sote maeneo yapo ya kutosha mna ngoja wawekezaji wachukue maeneo ndipo tuanze kulalamika

No comments:

Post a Comment