KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, October 11, 2011

MKUU WA MKOA WA RUVUMA Mh.SAID THABIT MWAMBUNGU AWATAKA WAISLAAM KUDUMISHA AMANI

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh.Saidi Thabit Mwambungu akisoma Gazeti la Mapenzi ya Mungu alilo pewa zawadi na Sheikh wa Ahamadiyya Mkoa wa Ruvuma Abid Bhatt


Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh.Said Thabit Mwambungu amewataka Waislamu kuendeleza maombi ili Nchi yeyu iendelee kuwa Nchi ya Amani na Utulivu. Mkuu wa mkoa ameya sema hayo wakati akiongea na ujumbe wawatu watano kutoka Jumuiyya ya Waislaam waahamadiya walipo mtembelea Ofisini kwake



Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Mh.Said Thabit Mwambungu akipokea zawadi ya vitabu na Magazeti kutoka kwa Sheikh wa Ahamadiya Abid Bhatti alipo tembelewa ofisini kwake na wajumbe watano wa dhehebu la Ahamadiy

No comments:

Post a Comment