KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, October 22, 2011

MKUU WA MKOA AIWAKIA KAMPUNI YA PROGRESSIVE BAADA YA KUSHINDWA KUTIMIZA MKATABA WA KUJENGA BARABARA YA NAMTUMBO VS TUNDURU

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh.Saidi Thabit Mwambungu akiwa amemwakia Meneja wa Tanroard Abrahamu Kisimbo baada ya kuona kampuni ya Progressive kutoka india ikiwa imebaki kwenye mipango yakinifu zaidi ya miezi 9. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma mefikia hatua ya kuwasiliana na Waziri mwenye dhamana Mh.John Magufuri ili aweze kufahamu ni jinsi gani kampuni isiyo na uwezo kupewa kilimeta 187 ambazo zilitakiwa kupewa makampuni matatu .Tanroad imetoa notisi ya siku 28 kwa kampuni ya Progressive kwa kushindwa kwenda sawa na mkataba.

Meneja wa Tanroad Mkoa wa Ruvuma Abrahamu Kisimbo akiwa amebanwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu kuhusiana na kupewa kampuni ya Progressive utengezaji wa barabara kutoka Namtumbo hadi Tunduru huku kampuni hiyo ikiwa haina uwezo

Mipango Yakinifu inayo fanywa na Kampuni ya Progressive kutoka India ndiyo hiyo inayo onekana hapo juu

No comments:

Post a Comment