KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, October 12, 2011

JEE WAKINA MAMA KWA HATUA HII WATAJIKWAMUA NA UMASKINI?

Wakina Mama wajasiliamali Mkoa wa Ruvuma wakihangaika kutafuta riziki katika barabara kuu iendayo Mbamba Bay, wakina Mama hao hulazimika kuuza Dagaa hawa Barabarani baada ya wateja kushindwa kwenda kununua bidhaa hiyo kwenye Soko Kuu

wanaoonekana katika ungo ni Dagaa wanaopatikana katika Ziwa Nyasa, akina mama hushindwa kuwasindika katika mifuko ili kuongeza ubora wa Dagaa hao kutokana na hali ngumu inayowakabili.

No comments:

Post a Comment