KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, October 12, 2011

KAZI YA MEYA NA MWENYEKITI WA HALMASHAURI NI KULETA MAENDELEO KATIKA MAENEO YAO

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea akiwa katika Ofisi yake akiongea na Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Ruvuma kuhusu kuendeleza ujenzi katika mpaka wa Msumbiji na Tanzania(Mkenda) ili kuwaletea uchumi endelevu kati ya Nchi hizo mbili

Meya wa Manispaa ya Songea Charles Mhagama akipongezwa na Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahamadiyya Abid Bath baada ya kushinda katika kiti cha Umeya wa Manispaa ya Songea

No comments:

Post a Comment