KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, October 15, 2011

WADAU WA HABARI WAITAKA SEREKARI KUTOA RUDHUKU KWA WAANDISHI WA HABARI

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh.Said Thabit Mwambungu akiwa na wadau wa Habari Mkoani Ruvuma wa kwanza Kulia ni Mstaiki Meya wa Manspaa ya Songea Chares Mhagama

Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Ruvuma wakiwa na Wadau wa Habari katika kikao cha pamoja nawaandishi mkoani Ruvuma

Mwandishi wa Habari mtoji wa Changamoto Miongoni mwa Wanahabari Crensecia Kapinga aliye na mtandio akiwa kwenye kikao hapo anaonekana akiwa na washawasha kutaka kuchangia

wadau wa Habari kutoka vyama mbalimbali vya siasa na Madhehebu ya Dini wakiwa katika kikao cha kupata uelewa kuhusu Habari

No comments:

Post a Comment