KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, October 29, 2011

KATIBU MKUU WA WIZARA YA AFYA AWATAKA WAANDISHI KUWA SAIDIA WATU WALIOKO PEMBEZONI

Mkurugenzi mkuu wa Bima ya Afya Tanzania akieleza mafanikio ya Bima ya Afya kwa miaka kumi iliyo pita tayari bima ya afya imepanga kuwa fikia wateja wapatao milioni 6 ifikapo mwaka 2012 hivi sasa Bima ya Afya ina wateja wapatao milioni 3.3

Katibu mkuu wa Wizara ya Afya na usitawi wa Jamii Blandina Nyoni amewataka waandishi wa habari kusaidia kuainisha matatizo yanayo wakabili watu walioko pembezoini na kusaidia kuhamasisha wananchi kujiunga na CHF ili iwakomboe pale wanapo patwa na maradhi

Mganga mkuu wa serekari Nchini Tanzania amesema waganga ambao hawata wajibika katika utendaji wa kazi ni juu ya waandishi wa habari kuwafichua kwa vitendo watakavyo fanya pia amewataka waandishi kupongeza vilevile kwa wafanyakazi wa widhara ya Afya pale watakapo fanya vizuri

Mkurugenzi wa TBC Daniel Mshana amepongeza kitendo cha Bima ya Afya kuwa shirikisha waandishi katika utafi wakujua mafanikio na changamoto zinazo wakabili wanachama wa NHIF na CHF

No comments:

Post a Comment