KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, October 7, 2011

MAHINDI MKOANI RUVUMA YAPO MBIONI KUHARIBIKA KWA AJILI YA MVUA ZINAZO ENDELEA KUNYESHA

Kutokana na mvua zinazo endelea mkoani Ruvuma Zinaweza kuathiri wafanya biashara ambao Mahindi yao hayaja nunuliwa na kitengo cha hifadhi ya chakula Ruvuma huku yakiwa yamekosa maturubai ya kufunika Mahindi hayo ,Jee yatakapo nunuliwa yakiwa yamelowa hasara ni kwanani , Nikosa la Mfanya biashara au Kitengo cha hifadhi kuchelewa kununua Mahindi Hayo


Mahindi yanayo onekana hapo juu ni yawafanya biashara ambayo hayaja nunuliwa na kitengo cha hifadhi ya chakula Ruvuma yakiwa ya nalowa huku kukiwa na Bwawa kubwa eneo lililo wekwa Mahindi katika uwanja wa Zimani moto Songea


Mahindi yaliyo nunuliwa na Hifadhi ya Chakula Mkoa wa Ruvuma yakiwa kwenye bwawa la Maji ingawa yamefunikwa vizuri, Hiyo ni kutokana na ukosefu ya maghala ya kuhifadhia Mahindi mkoa wa Ruvuma kuelemewa

No comments:

Post a Comment