KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, October 27, 2011

MKUTANO MKUU 10 WA BIMA YA AFYA MOROGORO

Mafasa wandamizi wa Bima ya Afya mwanzoni ni Eugen MKONKOTI anaye fuata ni Rehani Athumani wakisikiliza kwa makini Hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Joel Bendera wakati akifungua Mkutano mkuu wa Bima ya Afya Mkoani Morogoro

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera akifungua Mkutano mkuu wa Bima ya Afya unaofanyika Mkoani Morogoro, Mkuu wa mkoa amewaomba waandishi kushiriki katika kueleza maruzi yanayo fanywa na Mfuko wa bima ya Afya pamoja na kukosoa yale mabaya yanayo ikabili mfuko huu.

Mkuu wa Mkoa wa Mrorogoro Joel Bendera akipitia Kablasha la linalo onyesha utafiti uliofanywa na waandishi Tanzania Mzima

Waandishi wahabari na wafanyakazi wa Mfuko wa Bima ya Afya wakiomboleza kuwakumbuka waliotangulia mbele za haki walioshiriki katika gurudumu la mfuko wa bima ya Afya katika kuleta mafanikio.

Nembo ya Mfuko wa Bima ya Afya ambyo imekuwa kielelezo kizuri katika mkutano ,kuu wa Mfuko wa Bima ya Afya Mkoani Morogoro

No comments:

Post a Comment