KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, October 10, 2011

JEE WAJUA VIVUTIO VILIVYOKO KATIKA MKOA WA RUVUMA ?

Watanzania wamekuwa mstari wa mbele katika ukombozi wa nchi za afrika Katika kupata uhuru picha ya hapo juu ni kiashirio cha Asikari Jeshi la wananchi Tanzania {JWTZ } wakati wa vita vya nduli vilivyo ongozwa na Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika kumtoa Nduli Idi Dada katika madaraka Nchini Uganda

Kaburi la shujaa wa kingoni Chifu Songea Mbano aliye nyongwa na Wajerumani na kichwa chake kupekwa ujerumani na kiwiliwili chake kuzikwa katika kaburi linalo onekana hapo juu.

kaburi la mashujaa 66 walio nyongwa na wajerumani 27/2/1906 na kuzikwa kaburi moja katika eneo la mashujaa Mahenge Manspaa ya Songea

Kaburi la mashujaa wa mkoa waruvuma walio pigana vita vya Majimaji wakiwa katika orodha kamili watu 66 walizikwa kaburi moja, kaburi hili lipo kata ya Mahenge Manspaa ya Songea


Nyumba hizi zilikuwa zikitumika na Machifu wa Mkoa wa Ruvuma kabla ya utawala wa wajerumani

No comments:

Post a Comment