KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, May 21, 2013

HIVI UTESAJI WA WATOTO UNA TOKANA NA NINI ?

Mkono wa Fikiri Haus 13 uliounguzwa unavyo onekana kwa karibu huo ni ukatiri ulio kithiri
 Mtoto Fikili Hausi Mwanafunzi wa Darasa la Tatu Shule ya Msingi ya Majengo Mansipaa ya Songea akiwa amelazwa Hospitali ya Mkoa baada ya Kunguzwa Moto na Mama yake .Jeshi la Police lina endelea kumtafuta mama yake Fikili Hausi 
Msomaji hebu angakila Jamii ya watanzania kila siku ina fanya kongamano ya kuzuia vitendo vya ukatili dhidi ya watoto na mama jee kitendo hiki sisi watanzania tunaenda wapi ?Masikini mtoto anaonekana kama amelala lakini hayo ni maumivu kiasi hataki hata kuongea na mtu.Kila mmoja pale alipo ajalibu kuzuia vitendo hivi.

No comments:

Post a Comment