KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, May 31, 2013

TGNP NINI KIFANYWE NA MABLOGER WA RUVUMA ILI WA SHIRIKI WASHA ZENU ?

 Mkongwe wa Habari Mkoa wa Ruvuma  Adamu Mzuza Nindi  adammzuza@yahoo.com, mzuzanindi@gmail.com  akipandisha picha mbalimbali zenye kuleta mwamko wa kuweza kuondoa mfumo dume pamoja na kuleta maendeleo kwa mama na mtoto. Jee TNGP Tufanye nini ili mjue Songea kuna Bloger
 Afisa Uhusiano kutoka TGNP Liliani Liundi akiwa katika kazi malumu ya kuweza kuinua vipaji vya Mwanamke katika Tamasha Malimbali, Jee Tufanyeje ili TGNP ijue kuwa Ruvuma kuna Bloger
 Mtoto Selina Fussi aliye weza kusaidiwa na Mh.Steven Wasira ambaye Moyo ume Toboka na kupata Ufadhili wa Kwenda kutibiwa India, Jee kazi hiyo haitambuliki na TGNP
Afisa Uhusiano wa TGNP  Liliani Liundi akiwa na Naibu waziriri wa widhara ya Maendeleo ya Jamii jinsia na wato Ummy Mwalimu katika sherehe fupi ya kutambua vipaji vya waandishi wa habari.jee hiyo siyo kazi ya Bloger Adamu Mzuza Nindiwa Ruvuma, Tafadhali kwa kuwasiliana nasi tumia adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com

No comments:

Post a Comment