KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, May 16, 2013

MHASHAMU ASKOFU MKUU WA JIMBO LA SONGEA


Mhashamu Askofu Mkuu wa Jimbo la Songea ameyasema hayo wakati akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu Kustahafu kwake kuwa Askofu kutokana na Maradhi yanayo mkabili.

Mhashamu Askofu Mkuu Norbet Mtega amesema ameamua kuweka hadharani Maradhi yanayomsumbua ili waumini wakae wakijua nini kimemfanya Astahafu.

Askofu Mtega amesema anasumbuliwa na Presha ya kupanda pamoja na kuumwa kwa miguu, akiongeza amesema hata kama akihitaji kupumzika hukosa usingizi kwa muda mrefu .

Askofu Mtega amesema anasumbuliwa na Presha ya kupanda pamoja na kuumwa kwa miguu, akiongeza amesema hata kama akihitaji kupumzika hukosa usingizi kwa muda mrefu .

Mhashamu Askofu Mkuu Norbet Mtega amesema pamoja na kustahafu yeye atabaki hapa hapa Songea Mkoani Ruvuma.

Mhashamu Askofu Norbet Mtega ameweza kutumikia Waumini katika uaskofu kwa kipindi cha Miaka 28 .

Hata hivyo alibainisha wazi kwa mujibu wa taratibu za kikatoliki alitakiwa kustaafu akiwa na umri wa miaka 75 lakini kutokana na Maradhi amemuomba Papa Francis wa kwanza  kuomba kustahafu kwa kufuata taratibu, kanuni na sheria zinazopaswa kuzifuata naye Papa ameridhia.
Kitendawili cha Mshamu Askofu Mkuu kitaweza kuteguliwa na waumini wenyewe kujua kama Mhashamu  kajiudhuru nini kime fanya afikie hatua hiyo.

No comments:

Post a Comment