KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, May 9, 2013

WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MBULANI MANSPAA YA SONGEA WAPATA MAFUNZO YA KUTUNZA MAZINGIRA

 Wanafunzi wa Shule ya sekondari ya Mbulani Manspaa ya Songea wakipata mafunzo ya upandaji wa Miti na Matunzo yake
 Wanafunzi wa Sule ya Sekondari ya Mbulani wameiomba Serekari kupeleka walimu wa somo la kilimo ili waweze kujisaidia apo baadaye
 Wanafunzi wa Kibulani wakifundiswa namuna ya miti inavyo toa faida kwa jamii ikiwa na pamoja na kuleta ali ya ewa nzuri
 Mkurugenzi wa Mwangaza Foundation akito Mafunzo ya jinzi ya kutengeneza Mbolea ya Asili ambayo aiwezi kuaribu Aridhi
 Miche zaidi ya 10,000 imepandwa katika bustani ya Mwangaza Foundation kwa kuweza kusaidia wanafunzi wa sekondari za Manspaa ya Songea
 Unao onekana hapo katikati ni udongo ambao una rutuba ya kuwezesa kulatika miche wanafunzi wana fundishwa jinsi ya kutengeneza udongo wenye Rutuba
Miche ya Migwina na Miembe ikionyesha kusitawi vizuri baada ya kupata rutuba bora wanafunzi wakijifunza mbinu hizo za kuboresha Aridhi

No comments:

Post a Comment