KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, May 13, 2013

JESHI LA POLICE MKOANI RUVUMA YA KAMATA MENO YA TEMBO KILO 18

Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Nsimeki akiwa ameshika pembe ya Ndovu aliyo kamatwa nayo Dereva wa Halimashauri ya Wilaya ya Namtumbo Buhuhani Mntini akisafirisha katika stand ya NamtumboMkoani Ruvuma
 Askari wa Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma mwenye Begi akiwa amekamata pembe za Ndovu kwa Buruhani Mtini (48) ambaye alikuwa anasafirisha pembe hizo kutoka Wilayani Namtumbo kupeleka Songea
Meno ya Tembo ambayo yalikuwa kwenye Begi vipande 16 vyenye uzito wa kilo 18 vyenye thamani ya Fedha za Kimarekani US Dola 30,000

No comments:

Post a Comment