KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, May 26, 2013

KISAMVU NI MBOGA INAYO WAKILISHA UTAMADUNI WA MTANZANIA

Kisamvu ni mwakilishi wa Mwafirika ,Hakuna Mtu utakaye mwuliza asijue mboga ya kisamvu katika hilo wewe una semaje ?. Waafrica sasa hivi tumeingiwa na Utamaduni wa kisasa ambao lengo lake ni kupotosha maadili ya Mwafrika, Jee wew kama una kumbukumbu una jua Maharage ya Kasuka Nywele sasa hivi yako wapi ?. Lamsingi ninalo taka kuku uliza tanzania Tuna Makabila 120 jee wewe Mtoto wako anaweza kuzungumuza Lugha ya asili yako kama hawezi kosa la nani .

No comments:

Post a Comment