KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, May 3, 2013

MKURUGENZI WA PANNAR NCHINI TANZANIA ATEMBELEA MKOA WA RUVUMA

 Mkurugenzi wa kampuni ya utoaji mbegu bora Nchini Tanzania Zakayo Owenya [aliye vaa kofia mviringo] akiwa na viongozi wa usambazaji waMbegu za PANAR Mkoani Ruvuma wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa Tathmini ya ubora wa mbegu aina ya PANNAR ambayo ime onyesha kufanya vizuri mkoani Ruvuma
Mkurugenzi wa PANNAR SEED Tanzania Zakayo Owenya aliye vaa shati la bluu ameahidi kuleta mbegu za PANNAR Mkoani Ruvuma ili kusaidiana na Serekari ya Jamhuri ya Mungano katika kuhakikisha Njaa ina kuwa Ndoto Nchini Tanzania. Amewaomba wakulima kuhakikisha wana Tumia Mbegu za PANNAR ili kuinua kipato chao cha uvunaji wa Mahindi. Mbegu za PANNAR zina uwezo wa kuzalisha Magunia 35 kwa Ekari moja.

No comments:

Post a Comment