KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, June 24, 2012

BINTI HUYU HAPA CHINI ANA TAFUTWA NA WAZAZI WAKE SONGEA

Binti Glolia Mligo ni Mwanafunzi wa kidato cha pili ana soma shule ya secondary Swila Mkoani Mbeya ,Alikuja likizo kwa wazazi wake ambao wanaishi songea. Binti Huyu ametoweka toka siku ya Ijumaa 15/06/2012 mpaka leo haja onekana yeyote atakaye mwona apige simu kwa mawasiliano kwa nomba zifuatazo 0767 668 400, 0714 668 400, 0755 731 234.au unaweza kutoa tarifa police

Hapo Glolia Mligo anaonekana akiwa amepiga picha ya kukata hiyo yote nikukupa mtazamaji ili umwone vema binti huyo wazazi wake wana hangaika wana shindwa hata kula

Glolia Mligo unavyo onekana kwenye picha unaonekana ni mtu mwenye busara, hebu nikuambie dawa ya maudhi nikuya puuzi ,endapo wazazi wame kuuzi ujue ndio maana wakaitwa wazazi kwalile unaloliona wewe kuwa ni zuri wenzio wamepitia hilo ndiyo maana wanatoa somo.Glolia wewe ni mkristo na bibilia ina sema Hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu mhubiri sura ya 7 Hebu shindana na shetani rudi kwa wazazi wako.yeyote aliye karibu na Glolia afikishe ujumbe huu.

No comments:

Post a Comment