KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, June 9, 2012

WAUZAJI WA NYAMA YA NGURUWE WAGOMA KUHAMIA HIFHADHI YA MISITU YA MALIASILI MPWAPWA WAKIDAI WAO SIO WALINZI WA MISITU

Na N oel S tephen

MPWAPWA

BARAZA LA MADIWANI Wilayani Mpwapwa imetofautiana na watendaji wahalmashauri ya wilaya Mpwapwa juu uharibifu unao endelea katikahifadhi ya msitu wa mali ya asili juu ujengaji Bucha za Nguruwe katikaeneo la msitu huo.

Hali hiyo imejitokeza jana katika kikao cha baraza la Madiwa chaku jadili utekekelezaji wa shughuli za maendeleo za halmashauri hiyokwa kipindi cha mwaka wa fedha wa 2011-2012 kwa mwezi januari hadimachi.

Akitoa hoja hiyo Diwani wa kata vighawe Bwana Dikson Mahui ambae lawama zote alizielekezea kwa bwana AFYA wa wilaya Bwana Praivat Lweimanmu kuwa ametoa notis kwa wafanya biashara za bucha za nguruwekuhamia katika maeneo hayo ya hifadhi ya mazingira ya mali asili.

Kwa upande wao wafanya biashara wa nyama za Nguruwe wamegoma kuhamiakatika eneo hilo kwa madai kuwa biashara zao si rafiki na utunzaji mazingira, japo kuwa kuna barua za kuwataka kuhama kwenye maeneo yao yenye kumb na MH/C.90/2.VOLII/34 ya tarehe15/02/2012 na kuwatishia kuwapeleka mahakamani kama hawatatii amri hiyo

MWISO

No comments:

Post a Comment