KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, June 20, 2012

MUNGU AKIKUPA MSHUKURU NDIVYO ASEMAVYO ADAMU NINDI

Ndugu Angelimo Chale akimtakia kila la heri ndugu Adamu Nindi na kumusia kuwa taifa linawategemea waandishi wa Habari kuwa na Usafiri wa vyombo vya moto una hitaji sana umakini



MUNGU NI MKUBWA. MUNGU NDIYE MWENYE HERI MUNGU HUMPA AMUTAKAYE NA KUMNYIMA AMTAKAYE JINA LA BWANA LITUKUZWE.


Mara zite Mungu amepanga kuwapa pepo wale ambao wamefanya kazi kwa ajiliyake. kwa wasitani mimi ninaye itwa Adamu Mzuza Nindi nimefanya kazi za Mungu kwa Miaka 17 . Chakula nilicho kuwa na kula wakati huo ilikuwa ni Kipange cha Mkate mmoja kiitwacho Sinkonzi pamoja na Robo lita ya Maziwa ya Mgando kwa siku.

Kipindi hicho nilichaguliwa kwenda kuhubili uislaamu katika Nchi ya Malawi na Msumbiji nime fanya kazi hiyo kuanzia mpakani Nkata bay Malawi hadi Mangochi mpaka wa Msumbiji na Malawi, nilibahatika kufungua Misikiti nne pamoja na kuweza kuwa silimisha machifu 3.

Baada ya Kumaliza kuhubili Nchi ya malawi nilingia Msumbiji ambako nilianza mahubili Kobwe Nchini Msumbiji hadi Mwambao wote wa Ziwa Nyasa muda huo wote nikiponea kipande kimoja cha mkate kwa siku . kwa mda wa Miaka 17 nimefanya kazi ya Mungu ni kiwa Katibu mkuu wa Jumuiya ya Waislamu Mkoa wa Ruvuma lakini hata hivyo sikuacha kazi ya uandishi wa Habari.

Ninalo taka kusema ni kuwa ukimkumbuka mwenyezi Mungu hakutupi mkono katika maisha yako kumbuka sana walemavu,masikini wa Kawaida ,Acha kabisa Majivuno mheshimu kila mmoja unaye Mwona mbele yako.

Sasa kwa mapenzi ya Mungu nina Nyumba na Gari Dogo la Kutembelea hiyo ndiyo dawa ya Mungu kukukumbuka nawe usiwe kama hukuzaliwa.

kitu kingine cha Mhimu ni kuheshimu wanawake wote unao waona mbele yako hawo ndiwo wanao mwakilisha mama yako Mzazi, Ukimdharau Mwanamke ni sawa na kumdharau Mama yako Mzazi.

No comments:

Post a Comment