KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, June 29, 2012

KAMANDA MAIKO KAMHANDA AVUNA ALICHO PANDA KUTOKA MKOANI RUVUMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Kumwaga Kamanda Maiko Kamhanda akitoa shilingi milioni mbili kama Zawadi Kwake

wadau mbalimbali wakitoa zawadi mbalimbali kwa kamanda kamhanda wakati wa sherehe ya kumwaga katika ukumbi wa songea kilabu

Wadau mbalimbali akiwemo Cerencesia kapinga Mwandishi wa Habari wakienda kutoa zawadi kwa kamanda Mailo kamhanda

Mwenyekiti wa Kamati ya Sherehe Mwikoki akito vyeti kwa wana kamati walio Fanikisha sherehe

Mwenyekiti wa Kamati ya Sherehe Mwikoki akikabidhi Majina ya wana kamati kwa kamanda Mpya Deusdediti Nsimeki

No comments:

Post a Comment