KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, June 15, 2012

JESHI LA POLICE MKOANI RUVUMA LA KAMATA BUNDUKI 16 ZILIZO KUWA ZIKITUMIKA NA WAHALIFU

As inspekita Jumanne akimwonyesha RPC Mkoa wa Ruvuma Deusdit Kaizilege Nsimeki bunduki zilizo kamatwa wilaya mbalimbali katika mkoa wa Ruvuma

Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Kaizilege Nsimeki akikagua Bunduki Zilizo kamatwa katika msako mkali wa kusaka Bunduki zinazo Fanya uhalifu mkoani Ruvuma

OCD Wa Wilaya ya Namtumbo akitoa maelezo jinsi alivyo weza kufanikiwa kukamata Bunduki katika Wilaya yake ya Namtumbo. Aidha kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma ametangaza zawadi ya shilingi laki tano kwa yeyote atakaye weza kufanikisha upakanaji wa Bunduki aina ya SMG

No comments:

Post a Comment