KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, June 17, 2012

KAMANDA WA POLICE MKOA WA RUVUMA ATIMIZA AZIMA YAKE

Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Desdedit Nsimeki akisalimiana na Mwenyekiti wa Police wanawake Anna Tembo
Kamanda wa Police akitoa mchango kwa ajili ya Jengo la Police Wanawake anaye pokea ni Mwenyekiti wa Police wanawake Anna Tembo


Kamati ya Ujenzi ya Jengo la Police Wanawake wakikagua jengo la Police Wanawake aliye Vaa shati la Miraba ni Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Desdedit Nsemike

No comments:

Post a Comment