KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, June 15, 2012

DAWA HIZI ZIME FIKAJE MIKONONI MWA MTUHUMIWA

AKAMATWA AKIWA NA DAWA ZA BINADAMU MALI YA SEREKARIMPWAPWA

Na Noel Stephen Mpwapwa

Jeshi la Polisi Wilayani Mpwapwa Linamshikilia mfanya biashara mmojawa kijiji cha Ng’hambi Bwana Jeremia mhogo kwa tuhuma za kukamatwana dawa za kutibu binadamu na baadhi ya dawa hizo zikiwa na nemboya MSD kinyume na sheria.

MKUU wa polisi wilayani mpwapwa Bwana JEREMIA SHILA ametibitishakutokea kwa tukio hilo na amesema mtuhumiwa bado anashikiliwa napolisi lakini kwa sasa yuko nje kwa dhamana .

No comments:

Post a Comment