KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, June 29, 2012

KATIBA NDIYO MIRATHI HALALI KWA VIZAZI VIJAVYO - JAJI MFAWIDHI PETER CHOCHA

Kamanda wa police Maiko Kamhanda ambaye ana hamia Iringa akiwa na Kamanda Mpya Deusdeti Nsimeki katika Afula fupi iliyo fanyika ukumbi wa Songea Club


Police Wanawake Mkoa wa Ruvuma wakiongozwa na Inspekita Anna Tembo wakienda kutoa Mkono wa Heri wa kumwaga kamanda wao wa Zamani Maiko Kamhanda anaye hamia Iringa na Kumkaribisha kamanda mpya Deudedit Nsimeki


Meneja wa TTCL Mkoa wa Ruvuma Michael Chanachayo akiwa mmoja wawa shiriki katika kumwaga Kamhanda


Rose mary Chale akiwa katika sherehe za kumwaga Kamanda Maiko Kamhanda katika Ukumbi wa Songea Club

RCO Mpya akiwa na RTO Wakipongezana katika sherehe fupi ya kumkaribisha kamanda mpya Deusdediti Nsimeki

Mkuu wa kituo cha Police Mbinga akiwa kwenye ukumbi wa sherehe songea Club

Kamati ya sherehe wakiwa wamejipanga kwa ajili ya kumwaga kamanda wa Police Maiko Kamhanda

Viongozi wa Mkoa wa Ruvuma wakiimba wimbo wa Uzalendo katika kumkaribisha kamanda mpya Deusdediti Nsimeki na Kumwaga Maiko Kamhanda

Mkurugenzi wa kirahama akiwa na furaha katika sherehe za kukaribisha na kuaga makamanda wa Police

Mganga Marufu wa Jadi Frola Ndembo akiwa katika ukumbi wa Songea Club ili awa jue Viongozi wake wanao hama na wanao karibishwa Mkoa wa Ruvuma


Umati wawatu walio furika kuja kumwaga kamanda Kamhanda katika ukumbi wa Songea Club

Mkurugenzi wa Kiwanda cha kukoboa kahawa mzee Komba akiwa na Mkurugenzi wa shamba la kahawa lilioko liganga barabara iendayo Mbinga

kikosi cha Police kikiwa katika sherehe za kumwaga na kumkaribisha kamanda mpya

Mke wa Kamanda Mpya Mkoa wa Ruvuma akimpongeza Mume wake Kuhamia Mkoa wa Ruvuma

Sherehe ni kula bila kula siyo sherehe Hapo kamanda Maiko Kamhanda aki chukua chakula kilicho andaliwa kwa ajili yake katika kumwaga

Meja Chacha kutoka jeshi la wananchi akitoa mawaidha machache kuhusu utendaji wa Jeshi la Police Mkoani Ruvuma kuwa toka amefika hakuna ukorofi wowote ulio tokea kati ya JWTZ na POLICE

No comments:

Post a Comment