KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, June 13, 2012

KATA SABA ZA WILAYA YA MPWAPWA ZA KABILIWA NA UHABA WA CHAKULA

NA NOEL STEPHEN MPWAPWA ,

JUMLA YA KATA SABA na VIJIJI VITATU vy a wilaya ya mpwapwa mkoaniDodoma vinakabiliwa na uhaba wa chakula kwa msimu huu wa chakula wamwaka 2011/2012.

Kauli hiyo imetolewa na MOHAMED LONGOI afisa mazo wa wilaya alipokuwa akiongea na waandishi wa habari jana ofisi kwake kwa lengo lakutoa tadhimini ya chakula kwa mwaka 2011/2012 wilayani Hapo.

alisema kuwa kwa wilaya ya mpwapwa ilikuwa na mahitaji yaMazao ya chakula Tani 73,662 na wameweza kuvuna tani 74,254 ambazoni zaidi ya mahitaji ya chakula wilayani hapo .

Pia alisema kuwa mbali ya kuwa na zaidi tani 592 lakini alidai kuwakuna kata saba ambazo hukabiliwa na uhaba wa chakula na kata hizoalisema kuwa ni CHIPOGORO,MTERA,IWONDO,MIMA NA GHAMBI.Kata zingine ni RUDI NA GULWE na vijiji vya Idodoma,Kinusi, naKIJIJI Cha kiegea kata ya ghambi.

Alisema kuwa sababu za kata hizo kuwa na upungufu wa mazao ya chakulani kutokana na hali kijografia iliyopo ktika maeneo yao, ya katahizo na kingine alisema kuwa ni wanajamii wengi kung,ang,ania kulima mazo yasiyoweza kusatahimili ukame

No comments:

Post a Comment