KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, June 11, 2012

WANAWAKE WA KATA YA TANGA SONGEA MANSPAA WADAI KUNYIMWA TENDO LA NDOA NI UNYANYASAJI KIJINSIA

Meya wa Manspaa ya Songea Chares Mhagama akitoa ufafanuzi kuhusu mfuko wa Jimbo ambao wananchi kata ya Tanga walidai hawajui kazi yake.

Wandishi wa Habari wakiwa na Meja Nyumayo ambaye alikuwa akipeana mawazo baada ya kuja Songea kwa Likizo fupi kujua hali ya Nyumbani Kutoka Kulia ni Insp Anna Tembo anaye fuatia ni Dereva Wawaandishi Chichi Chichi, watatu kutoka Kulia ni Meja Nyumayo Wapili kutoka kushoto ni Mwandishi Adamu Nindi wakwanza kushoto ni Juma Nyumayo

Wananchi waliokuwa katika Mdahalo wa Usawa wa kijinsia ulio fadhiliwa na The foundation

Katibu wa Mbunge wa Songea Mjini Andrew Chatwanga akiwa kwenye mdahalo ulio husisha wananchi wa kata ya Tanga kujadili maswala ya kuweze kuleta maendeleo kwa wanawake

Wanawake walio Hudhulia katika Mdahalo wa usawa wa kijinsia mdahalo ulio fanyika kata ya Tanga Mansipaa ya Songea, Wanawake wamedai kunyanyaswa kijinsia kwa kunyimwa tendo la ndoa ,Pia wamedai kuwa wanawake walio zaidi ya miaka 50 kulazimishwa tendo la Ndoa wakati wao hawako tayari kufanya tendo hilo kutokana na kutokwa na fikira za kufanya tendo hilo wameomba msaada wa kisheria.


Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Ruvuma wakiwa katika mdahalo wawazi kuhusu usawa wa kijinsia ulioendeshwa na Asasi ya SONNGO


Washiriki wa Mdahalo wawazi katika kata ya Tanga manspaa ya Songea wakiwa makini kumsikiliza Insp Anna Tembo alipo kuwa akitoa Mada kuhusu sheria zinavyo walinda wanawake na wanaume .

No comments:

Post a Comment