KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, June 15, 2012

MAMA HUYU HAPA CHINI AMETELEKEZA WATOTO 6 NA KUIBA SHILINGI MILIONI 3 WATOTO WANA HANGAIKA

Mama huyo hapo juu ana julikana kwa jina la Mesha joseph ambaye ametelekeza watoto walio hapo chini na kuchukua fedha tasilimu kiasi cha shilingi milioni 3 ambazo walijiwekea kwa ajili kuwa somesha watoto. mama huyo amefunguliwa jalada MAT/RB/59/2012 yeyote atakaye mwona atoe tarifa kituo chochote cha POLICE kilichopo karibuMasikini watoto unao waona hapo juu wametelekezwa na mama yao ambaye alikuwa akiishi matarawe katika Manspaa ya Songea, watoto hao wanasikitika mama yao mzazi hapo juu kutoka na kuchukua shilingi milioni 3 ambazo baba yao aliwawekea kwa ajili ya masomo wamemwomba mama yao arudi kwani maisha wanayo ishi simazuri, mpaka mtoto mdogo aliye katikati ana diriki kusema kwa nini mama yao aliwazaa ?

No comments:

Post a Comment