KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, June 9, 2012

UFUGAJI WAKUKU WAWAKOMBOA WANAWAKE SONGEA

Manspaa ya Songea ina wafugaji 150 ambao wana kuku wa mayai na kuku wa nyama wapatao 100,000

Makamu meya wa Manspaa ya Songea Mariamu Didhumba akifungua semina ya Ufugaji wa kuku Manspaa ya Songea wapatao 100 ili kupata mafundisho sahihi ya ufugaji wa kuku


Wasiriki wa semina ya ufugaji wa kuku wakisikiliza kwa makini kuhusu ufugaji bora

Watalamu wa Kilimo na Mifugo wakipeana mawazo wakiwa inje ya ukumbi wa manspaa ya songea

Dr.Nkoma akimkaribisha mgeni Rasimi katika semina ya ufugaji wa kuku wa nyama na Mayai

Washiriki kutoka kata 24 za Manspaa ya Songea wakisikiliza jinsi ya ufugaji bora na jinsi ya kuepukana na Magonjwa yanayo kabili kuku

Wanawake wakiwezeshwa wanaweza ndiyo kauli iliyo kisiri katika semina ya ufugaji wa kuku

Mwanamke ni kujiamini akijiamini anaweza kufanya kila kitu walidai wanawake hawa

Watalamu wanao leta dawa za kuku wametakiwa kuleta dawa bora badala ya kuleta dawa ambazo zina wapa hasara wafugaji.

No comments:

Post a Comment